Uwepo wa Ziwanyasa Wilaya ya Ludewa unapelekea kuifanya Wilaya ya Ludewa kuwa na Kivutio kikubwa cha Utalii wa ndani ya Halmashuri yetu ya Wilaya ya Ludewa.

Licha Ziwa hilo kuwa kivutio kikubwa hapa nchini Tanzani bali Ukanda wa Ziwanysa Ludewa kuna vivutio vingi vinavyo patikana ndani ya ziwa hilo na moja utalii ndani ziwanyasya ni Samaka wa mapambo,mawe yaaina yake,kichanga na milima mizuri iliyo jipanga kwa muonekano mzuri uwapo ziwani.

Kwa nafasi hii ya kipekee napenda kukuarika kuja kujionea mwenye uzuri ulio tukuka hapa ziwanyasa.
No comments:
Post a Comment