March 17, 2022

LUDEWA TWAMKUMBUKA Dkt.JOHN POMBE MAGUFULI



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameongoza Watanzania katika Maadhimisho ya Kumbukizi ya Mwaka Mmoja wa kifo cha Hayati Dkt. John Magufuli aliyekuwa Rais ya Awamu ya Tano.

Nasi Wananchi wa Wilaya ya Ludewa tumejumuika na Mhe. Rais katika kumbukizi hii kwa kuyakumbuka mambo mengi aliyo yafanya enzi za uhai wake Hayati Dkt.John Pombe Maguli.

No comments:

Post a Comment

FURSA ZA KILIMO CHA KAHAWA LUDEWA

Wakati ukijiuliza wapi zinapatika fursa za kilimo hapa nchini Tanzania leo nakunong'oneza kwa ukaribu kuwa Halmashari ya Wilaya ya Ludew...