Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameongoza Watanzania katika Maadhimisho ya Kumbukizi ya Mwaka Mmoja wa kifo cha Hayati Dkt. John Magufuli aliyekuwa Rais ya Awamu ya Tano.
Nasi Wananchi wa Wilaya ya Ludewa tumejumuika na Mhe. Rais katika kumbukizi hii kwa kuyakumbuka mambo mengi aliyo yafanya enzi za uhai wake Hayati Dkt.John Pombe Maguli.
No comments:
Post a Comment