March 19, 2022

HALMASHAURI LUDEWA YATOA VYANDUA 80 KATIKA SHULE YA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM MUNDINDI



Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa imetoa Vyandarua 80 katika shule ya msingi Mundindi ya watu wenye mahitaji maalum

Akikabidhi vyandurua hivyo Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Bw. Gilbert Ngailo ambaye alimwakilisha Mkurugenzi Mtendaji halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Ndg Sunday Deogratias kwenye maadhimisho ya miaka 10 ya shirika la PADECO.

Kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Leo Machi 18, 2022 nimekuja kupokea bweni moja na pikipiki mliyo tuwezesha ninyi shirika la Padeco,tunawashukuru sana na Mkurugenzi amesema nizilete kwenu shukrani hizi,nasi kama halmashauri kwa kutambua uwepo wa watoto hawa nasi tunatoa Vyandarua hivi 80 ili kuendelea kupambana na Maralia.alisema Gilbert Ngailo.

No comments:

Post a Comment

FURSA ZA KILIMO CHA KAHAWA LUDEWA

Wakati ukijiuliza wapi zinapatika fursa za kilimo hapa nchini Tanzania leo nakunong'oneza kwa ukaribu kuwa Halmashari ya Wilaya ya Ludew...