HALMASHAURI (W) LUDEWA
Ludewa ni Mahala Salama
March 23, 2022
FURSA ZA KILIMO CHA KAHAWA LUDEWA
March 22, 2022
TAARIFA KWA UUMA
Kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa
POLIO nchini Malawi, Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya
ya Ludewa itaanza zoezi la kampeni ya utoaji wa chanjo ya matone ya kuzuia
ugonjwa wa kupooza kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano (5).
March 21, 2022
KAIMU MKURUGENZI WILAYA YA LUDEWA AAGIZA ELIMU YA KULIFIKIA DAWATI LA JINSIA IWAFIKIE WANANCHI ITAPUNGUZA UKATILI DHIDI YA WATOTO NA WANAWAKE
March 19, 2022
LUDEWA NI WILAYA ILIYO BARIKIWA NCHINI TANZANIA
HALMASHAURI LUDEWA YATOA VYANDUA 80 KATIKA SHULE YA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM MUNDINDI
MWENYEKITI WA CCM LUDEWA ATOA TAMKO
Bw. LINUS MALAMBA ASIMAMIA SEMINA YA UGONJWA WA POLIO
Leo Machi 19, 2022 Mganga Mkuu wa Wilaya ya Ludewa atoa semina ya Mafunzo kwa Kamati ya Msingi ya Afya ngazi ya Jamii (PHC) na Mgeni Rasmi akiwa ni Mkuu wa Wilaya ya Ludewa akiliwakilishwa na Kaimu Das Wilaya ya Ludewa Bw. Linus Malamba
FURSA ZA KILIMO CHA KAHAWA LUDEWA
Wakati ukijiuliza wapi zinapatika fursa za kilimo hapa nchini Tanzania leo nakunong'oneza kwa ukaribu kuwa Halmashari ya Wilaya ya Ludew...
-
Mwenge wa Uhuru unaashiria nuru na mwanga.Uliwashwa kwa mara ya nchini Tanzania juu ya kilele cha mlima Kilimanjaro mwaka 1961. Mwenge wa ...
-
Mwenyekiti wa Halmashauri Wilaya ya Ludewa Wise Mgina Jana Machi 15, 2022 alitembelea Msitu wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa ulioko Kata y...
-
Leo Machi 21, 2022 Kaimu Mkurugenzi Wilaya ya Ludewa Bw. Gilbert Ngailo ameongoza kikao cha robo tatu ya kamati ya Wilaya ya Kupinga ukatili...